2 Mambo Ya Nyakati 33:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, Mwenyezi-Mungu akawaleta makamanda wa jeshi la mfalme wa Ashuru. Hao makamanda walimkamata Manase kwa kulabu wakamfunga pingu za shaba, wakampeleka hadi Babuloni.

2 Mambo Ya Nyakati 33

2 Mambo Ya Nyakati 33:2-12