2 Mambo Ya Nyakati 32:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Yeye anazo nguvu za kibinadamu tu, hali sisi tunaye Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, kutusaidia na kutupigania vita vyetu.” Maneno haya ya mfalme Hezekia yaliwatia moyo sana watu hao.

2 Mambo Ya Nyakati 32

2 Mambo Ya Nyakati 32:2-17