2 Mambo Ya Nyakati 32:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Ili kuuhami mji, mfalme Hezekia alipiga moyo konde, akajenga upya ukuta wote uliokuwa umebomoka, na juu yake akajenga minara. Upande wa nje, akajenga ukuta mwingine wa pili, na akaiimarisha sehemu iliyoitwa Milo katika mji wa Daudi. Zaidi ya hayo alitengeneza silaha na ngao kwa wingi.

2 Mambo Ya Nyakati 32

2 Mambo Ya Nyakati 32:1-15