2 Mambo Ya Nyakati 32:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Matendo mengine ya mfalme Hezekia na wema wake, yameandikwa katika Maono ya nabii Isaya mwana wa Amozi, katika Kitabu cha Wafalme wa Yuda na Israeli.

2 Mambo Ya Nyakati 32

2 Mambo Ya Nyakati 32:30-33