2 Mambo Ya Nyakati 32:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Hezekia ndiye aliyeyafunga maji ya chemchemi ya Gihoni, akayachimbia mfereji wa chini kwa chini hadi upande wa magharibi wa mji wa Daudi. Hezekia alifaulu katika kila jambo alilofanya,

2 Mambo Ya Nyakati 32

2 Mambo Ya Nyakati 32:26-33