2 Mambo Ya Nyakati 32:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Hezekia hakumtolea Mwenyezi-Mungu shukrani kwa hayo yote aliyomtendea kwa kuwa moyo wake ulikuwa umejaa majivuno. Hii ilisababisha kutaabika kwa Yuda na Yerusalemu.

2 Mambo Ya Nyakati 32

2 Mambo Ya Nyakati 32:16-26