2 Mambo Ya Nyakati 32:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Watumishi wa mfalme wa Ashuru walisema maneno mengine mengi mabaya dhidi ya Mwenyezi-Mungu, na dhidi ya Hezekia mtumishi wake.

2 Mambo Ya Nyakati 32

2 Mambo Ya Nyakati 32:8-25