2 Mambo Ya Nyakati 31:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Kila kazi aliyoifanya katika utumishi wa nyumba ya Mungu au katika utekelezaji wa sheria na amri za Mungu ili kufuata uongozi kutoka kwake, alizifanya kwa moyo wake wote, naye akafanikiwa.

2 Mambo Ya Nyakati 31

2 Mambo Ya Nyakati 31:17-21