2 Mambo Ya Nyakati 31:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Makuhani waliandikishwa kulingana na jamaa zao, hali Walawi waliotimiza miaka ishirini na zaidi waliandikishwa kulingana na kazi zao na zamu zao.

2 Mambo Ya Nyakati 31

2 Mambo Ya Nyakati 31:8-21