2 Mambo Ya Nyakati 31:12 Biblia Habari Njema (BHN)

na humo wakaweka matoleo, zaka na vyote vilivyowekwa wakfu, kwa uaminifu. Wakamweka Konania, Mlawi, awe ofisa mkuu mtunzaji wa vitu hivyo, na Shimei nduguye, awe msaidizi wake.

2 Mambo Ya Nyakati 31

2 Mambo Ya Nyakati 31:2-19