2 Mambo Ya Nyakati 30:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Msiwe wakaidi kama babu zenu, ila mtiini Mwenyezi-Mungu. Njoni katika hekalu lake ambalo amelitakasa milele, mumwabudu Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, ili asiwakasirikie.

2 Mambo Ya Nyakati 30

2 Mambo Ya Nyakati 30:7-18