2 Mambo Ya Nyakati 29:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha mfalme Hezekia na viongozi wakawaambia Walawi wamsifu Mwenyezi-Mungu kwa nyimbo alizotunga mfalme Daudi na mwonaji Asafu. Basi, watu wote wakamtukuza Mungu kwa furaha, na kumsujudia.

2 Mambo Ya Nyakati 29

2 Mambo Ya Nyakati 29:26-36