2 Mambo Ya Nyakati 29:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Hawa waliwakusanya Walawi wenzao, wakajitakasa. Kisha wakaingia kama walivyotakiwa kufanya na mfalme, wakaanza kusafisha nyumba ya Mwenyezi-Mungu kama Mwenyezi-Mungu alivyoagiza.

2 Mambo Ya Nyakati 29

2 Mambo Ya Nyakati 29:7-20