2 Mambo Ya Nyakati 28:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Zikri, askari mmoja shujaa wa Israeli, alimuua Maaseya, mwana wa mfalme, Azrikamu, kamanda wa Ikulu, na Elkana aliyekuwa mtu wa pili chini ya mfalme.

2 Mambo Ya Nyakati 28

2 Mambo Ya Nyakati 28:2-16