2 Mambo Ya Nyakati 28:3 Biblia Habari Njema (BHN)

akafukiza ubani kwenye Bonde la mwana wa Hinomu na kuwateketeza wanawe kama tambiko, akiiga desturi za kuchukiza za watu ambao walifukuzwa na Mwenyezi-Mungu wakati Waisraeli walipokuwa wanaingia nchini.

2 Mambo Ya Nyakati 28

2 Mambo Ya Nyakati 28:1-7