2 Mambo Ya Nyakati 28:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Ahazi alichukua dhahabu kutoka katika nyumba ya Mungu, kutoka ikulu na nyumba za wakuu, akampa mfalme wa Ashuru kama kodi; lakini hili pia halikumsaidia kitu.

2 Mambo Ya Nyakati 28

2 Mambo Ya Nyakati 28:16-27