2 Mambo Ya Nyakati 26:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Uzia aliondoka akapiga vita dhidi ya Wafilisti, akazibomoa kuta za miji ya Gathi, Yabne na Ashdodi. Akajenga miji katika eneo la Ashdodi na kwingineko nchini Filistia.

2 Mambo Ya Nyakati 26

2 Mambo Ya Nyakati 26:1-14