2 Mambo Ya Nyakati 25:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini mtu wa Mungu alimwendea, akamwambia, “Ee mfalme, usiende vitani pamoja na hawa askari wa Israeli, maana Mwenyezi-Mungu hayuko pamoja na watu wa Israeli. Hayuko pamoja na hawa Waefraimu wote.

2 Mambo Ya Nyakati 25

2 Mambo Ya Nyakati 25:1-11