2 Mambo Ya Nyakati 25:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Alichukua dhahabu yote na fedha hata na vifaa vyote vilivyokuwa katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu chini ya ulinzi wa Obed-edomu; pia alichukua hazina ya ikulu na mateka kisha akarudi Samaria.

2 Mambo Ya Nyakati 25

2 Mambo Ya Nyakati 25:17-28