2 Mambo Ya Nyakati 25:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, Yehoashi, mfalme wa Israeli alitoka akakabiliana uso kwa uso na Amazia, mfalme wa Yuda, huko vitani Beth-shemeshi, nchini Yuda.

2 Mambo Ya Nyakati 25

2 Mambo Ya Nyakati 25:19-24