2 Mambo Ya Nyakati 24:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, akawaita makuhani na Walawi na kuwaamuru, “Nendeni katika miji ya Yuda, mkusanye fedha kutoka kwa Waisraeli wote ili kurekebisha nyumba ya Mungu wenu kila mwaka; harakisheni.” Lakini Walawi hawakuharakisha.

2 Mambo Ya Nyakati 24

2 Mambo Ya Nyakati 24:1-15