2 Mambo Ya Nyakati 24:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo mafundi hao walishughulika na kazi hiyo kwa bidii, wakairudisha nyumba ya Mwenyezi-Mungu katika hali yake ya awali, wakaiimarisha.

2 Mambo Ya Nyakati 24

2 Mambo Ya Nyakati 24:10-16