2 Mambo Ya Nyakati 23:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Walawi na watu wa Yuda walitii amri zote alizotoa kuhani Yehoyada. Kila ofisa akawachukua watu wake wote, wale waliokuwa wamemaliza zamu na wale waliokuwa wanaingia kushika zamu siku ya Sabato; kwa sababu Yehoyada hakuwaruhusu waondoke.

2 Mambo Ya Nyakati 23

2 Mambo Ya Nyakati 23:1-9