2 Mambo Ya Nyakati 23:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Mkutano wote ukafanya agano na mfalme katika nyumba ya Mungu. Yehoyada akawaambia, “Mwangalie huyu mwana wa mfalme! Mwacheni atawale kulingana na ahadi aliyoitoa Mwenyezi-Mungu kuhusu uzao wa Daudi.

2 Mambo Ya Nyakati 23

2 Mambo Ya Nyakati 23:1-4