2 Mambo Ya Nyakati 23:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu watu wote wakaenda kwenye nyumba ya Baali, wakaibomoa na kuzivunja madhabahu pamoja na sanamu zake. Kisha wakamuua Matani, kuhani wa Baali, mbele ya madhabahu.

2 Mambo Ya Nyakati 23

2 Mambo Ya Nyakati 23:14-19