2 Mambo Ya Nyakati 23:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye, mnamo mwaka wa saba, kuhani Yehoyada alijipa moyo akafanya mapatano na makapteni: Azaria mwana wa Yehoramu, Ishmaeli mwana wa Yehohanani, Azaria mwana wa Obedi, Maaseya mwana wa Adaya, na Elishafati mwana wa Zikri.

2 Mambo Ya Nyakati 23

2 Mambo Ya Nyakati 23:1-9