2 Mambo Ya Nyakati 22:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakazi wa Yerusalemu walimpa Ahazia, mwana mdogo wa Yehoramu, ufalme, atawale mahali pa baba yake kwa sababu wakubwa wake wote waliuawa na kikundi fulani kilichokuja kambini pamoja na Waarabu. Hivyo, Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akatawala.

2 Mambo Ya Nyakati 22

2 Mambo Ya Nyakati 22:1-11