2 Mambo Ya Nyakati 21:7 Biblia Habari Njema (BHN)

lakini Mwenyezi-Mungu hakutaka kuangamiza ukoo wa Daudi kwa ajili ya agano alilokuwa amefanya na Daudi na pia kwa sababu alikuwa ameahidi wazawa wake wataendelea kutawala milele.

2 Mambo Ya Nyakati 21

2 Mambo Ya Nyakati 21:6-17