2 Mambo Ya Nyakati 21:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Yehoramu alipokikalia kiti cha enzi na utawala wake ulipokuwa umekwisha imarika, yeye aliwaua ndugu zake wote kwa upanga, na pia baadhi ya wakuu wa Israeli.

2 Mambo Ya Nyakati 21

2 Mambo Ya Nyakati 21:1-5