2 Mambo Ya Nyakati 21:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Yehoramu alikuwa na ndugu kadhaa wana wa Yehoshafati: Azaria, Yehieli, Zekaria, Azaria, Mikaeli na Shefatia.

2 Mambo Ya Nyakati 21

2 Mambo Ya Nyakati 21:1-7