2 Mambo Ya Nyakati 20:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Yehoshafati alikuwa na umri wa miaka thelathini na mitano alipoanza kutawala Yuda. Alitawala kutoka Yerusalemu kwa muda wa miaka ishirini na mitano. Mama yake alikuwa Azuba binti Shilhi.

2 Mambo Ya Nyakati 20

2 Mambo Ya Nyakati 20:30-37