2 Mambo Ya Nyakati 20:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wa Amoni na wa Moabu wakawashambulia wenyeji wa mlima Seiri, na kuwaangamiza kabisa. Baada ya kuwaangamiza wakazi wa mlima Seiri wakaanza kushambuliana wao kwa wao, wakaangamizana.

2 Mambo Ya Nyakati 20

2 Mambo Ya Nyakati 20:15-31