2 Mambo Ya Nyakati 20:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Roho wa Mwenyezi-Mungu akamjia mmoja wa Walawi aliyekuwa hapo, jina lake Yahazieli mwana wa Zekaria, mwana wa Benaya, mwana wa Yeieli, mwana wa Matania, wa ukoo wa Asafu.

2 Mambo Ya Nyakati 20

2 Mambo Ya Nyakati 20:4-19