2 Mambo Ya Nyakati 18:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye mfalme wa Israeli akamjibu Yehoshafati, “Yupo bado mmoja, Mikaya mwana wa Imla. Yeye twaweza kumwuliza shauri la Mwenyezi-Mungu. Lakini namchukia kwa sababu yeye kamwe hatabiri jambo jema juu yangu, ila mabaya tu.” Yehoshafati akamwambia, “Si vizuri mfalme kusema hivyo.”

2 Mambo Ya Nyakati 18

2 Mambo Ya Nyakati 18:1-11