2 Mambo Ya Nyakati 18:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Nayo mapigano siku hiyo, yakazidi kuwa makali huku mfalme wa Israeli amejiegemeza mwenyewe garini akiwaelekea Washamu mpaka jioni. Halafu mnamo machweo ya jua, alifariki.

2 Mambo Ya Nyakati 18

2 Mambo Ya Nyakati 18:25-34