2 Mambo Ya Nyakati 18:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo nabii Sedekia mwana wa Kenaana akamkaribia Mikaya, akampiga kofi shavuni na kumwuliza, “Kwa njia gani Roho wa Mwenyezi-Mungu ameniacha na akaja kunena nawe?”

2 Mambo Ya Nyakati 18

2 Mambo Ya Nyakati 18:18-29