2 Mambo Ya Nyakati 18:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye akajibu, ‘Nitakwenda na kuwafanya manabii wake wote waseme uongo.’ Mwenyezi-Mungu akamwambia, ‘Wewe utamshawishi na utafaulu; haya nenda ukafanye hivyo.’

2 Mambo Ya Nyakati 18

2 Mambo Ya Nyakati 18:20-23