2 Mambo Ya Nyakati 18:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini mfalme akamwambia, “Nitakuapisha mara ngapi kwamba kila unaposema nami kwa jina la Mwenyezi-Mungu, ni lazima uniambie ukweli mtupu?”

2 Mambo Ya Nyakati 18

2 Mambo Ya Nyakati 18:6-25