2 Mambo Ya Nyakati 18:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha mmoja wa manabii hao, Sedekia mwana wa Kenaana, akajitengenezea pembe za chuma, akasema, “Mwenyezi-Mungu asema hivi: ‘Kwa pembe hizi, utawarudisha nyuma Washamu hata kuwaangamiza.’”

2 Mambo Ya Nyakati 18

2 Mambo Ya Nyakati 18:7-20