2 Mambo Ya Nyakati 16:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Je, wale Waethiopia na Walibia hawakuwa jeshi kubwa na magari na wapandafarasi wengi? Lakini kwa vile ulimtegemea Mwenyezi-Mungu, yeye aliwatia mikononi mwako.

2 Mambo Ya Nyakati 16

2 Mambo Ya Nyakati 16:6-14