2 Mambo Ya Nyakati 16:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Alizikwa katika kaburi alilokuwa amejichimbia mwenyewe mwambani, katika mji wa Daudi. Walimlaza ndani ya jeneza lililokuwa limejazwa manukato ya kila aina yaliyotayarishwa na mafundi wa kutengeneza marashi, wakawasha moto mkubwa sana kwa heshima yake.

2 Mambo Ya Nyakati 16

2 Mambo Ya Nyakati 16:9-14