2 Mambo Ya Nyakati 14:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye akawaambia watu wa Yuda, “Na tuiimarishe miji kwa kuizungushia kuta na minara na malango yenye makomeo. Nchi bado imo mikononi mwetu kwa maana tumeyatenda mapenzi yake Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, naye ametupa amani pande zote.” Basi wakajenga, wakafanikiwa.

2 Mambo Ya Nyakati 14

2 Mambo Ya Nyakati 14:5-15