2 Mambo Ya Nyakati 14:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwishowe, Abiya alifariki na kuzikwa katika mji wa Daudi na Asa mwanawe akatawala mahali pake. Wakati wa Asa, kulikuwa na amani nchini kwa muda wa miaka kumi.

2 Mambo Ya Nyakati 14

2 Mambo Ya Nyakati 14:1-4