2 Mambo Ya Nyakati 13:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye, alijikusanyia kikundi cha mabaradhuli, watu wapumbavu wasiofaa kitu, nao wakamshawishi Rehoboamu mwana wa Solomoni, kutenda yale waliyotaka wao, naye hangeweza kuwazuia kwani wakati huo alikuwa bado kijana bila uzoefu mwingi.

2 Mambo Ya Nyakati 13

2 Mambo Ya Nyakati 13:2-11