2 Mambo Ya Nyakati 13:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Abiya alisimama juu ya mlima Semaraimu, ulioko kati ya milima ya Efraimu, akamwambia Yeroboamu na watu wa Israeli, “Nisikilize ewe Yeroboamu na watu wote wa Israeli!

2 Mambo Ya Nyakati 13

2 Mambo Ya Nyakati 13:1-6