2 Mambo Ya Nyakati 13:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Abiya alimfukuza Yeroboamu, akamnyanganya baadhi ya miji yake: Betheli, Yeshana, Efroni pamoja na vijiji vilivyokuwa kandokando ya miji hiyo.

2 Mambo Ya Nyakati 13

2 Mambo Ya Nyakati 13:17-22