2 Mambo Ya Nyakati 13:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Abiya na jeshi lake aliwashambulia sana, akawashinda; akaua wanajeshi wa Israeli, laki tano waliokuwa baadhi ya wanajeshi hodari sana katika Israeli.

2 Mambo Ya Nyakati 13

2 Mambo Ya Nyakati 13:8-20