2 Mambo Ya Nyakati 13:10 Biblia Habari Njema (BHN)

“Lakini kuhusu sisi, Mwenyezi-Mungu, ndiye Mungu wetu, wala hatujamwacha. Tena tunao makuhani wa uzao wa Aroni ambao wanamtumikia Mwenyezi-Mungu, nao husaidiwa na Walawi.

2 Mambo Ya Nyakati 13

2 Mambo Ya Nyakati 13:9-15