2 Mambo Ya Nyakati 12:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu alipoona ya kuwa wamejinyenyekesha, alizungumza tena na nabii Shemaya, akamwambia, “Wamejinyenyekesha, sitawaangamiza, bali nitawaokoa baada ya muda mfupi. Sitaushushia mji wa Yerusalemu ghadhabu yangu kuuharibu kwa mkono wa Shishaki,

2 Mambo Ya Nyakati 12

2 Mambo Ya Nyakati 12:1-16