2 Mambo Ya Nyakati 11:4-10 Biblia Habari Njema (BHN)

4. mimi Bwana nasema, ‘Msiende wala msipigane na ndugu zenu. Rudini kila mtu nyumbani kwake, maana hayo yaliyotokea ni kama nilivyopanga.’” Basi wakatii ujumbe wa Mwenyezi-Mungu, wakarudi nyumbani, wala hawakwenda kupigana na Yeroboamu.

5. Rehoboamu alikaa Yerusalemu na akajenga ngome na kuiimarisha miji ifuatayo iliyokuwa nchini Yuda:

6. Bethlehemu, Etamu, Tekoa,

7. Beth-suri, Soko, Adulamu,

8. Gathi, Maresha, Zifu,

9. Adoraimu, Lakishi, Azeka,

10. Sora, Ayaloni na Hebroni. Miji hiyo yenye ngome imo Yuda na Benyamini.

2 Mambo Ya Nyakati 11